Diamond jana amezindua Album yake aliyoipa jina la ” A Boy From Tandale”, Diamond amezindua Album hio Nchini Kenya, kama kawaida jicho letu likawa katika mavazi yaliyo valiwa katika event hio na hatukuwa surprise kabisa kuona hii huzuni. Picha nyingi tulizoziona ni za kwao wenyewe bado hutajaona za wageni waalikwa, We truly hope wageni waalikwa hawaku wafunika wahusika maana this is sad very sad.
Diamond looked very dapper na outfit yake, we loved it for red carpet, Harmonize pia didn’t disappoint us.
Bi Sandra alivaa hii pink’sh dress ambayo hatukuielewa, au labda imekuwa accessorized vibaya, the outfit is wrong in so many ways, bado hatujajua umuhimu wa hiko ki handbag hapo kwenye red carpet ( why?)makeup na nywele zake zipo proper but for other occasions
Na viatu jamani, Whyyyy? Why?
Ambao wana at least ni Esma, Petit, Diamond mwenyewe na Harmonize wengine wange skip red carpet hasa Queen Of Messy DarleenĀ
Katika outfit za stage Diamond killed it tumependa alivyo vaa outfits amejaribu kuwa colorful, kuvaa outfit za ki Africa
Tuambie wewe umeonaje mavazi yao?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/red-carpet-stage-outfit-katika-uzinduzi-wa-album-ya-diamond-platnumz-a-boy-from-tandale/ […]