Siku ya jumanne kuamkia jumatano ambapo ulikuwa mkesha wa Christmas, shindano na bongo star search 2019 lilifikia taamati ambapo tulipata mshindi ambae ni Meshack Fukuta.
Well wakati wengine walikuwa wanaangalia kujua nani atachukua ushindi sisi tulikuwa tukiangalia nani alivaa nini na hizi ndio two cents zetu katika mionekano ya siku hiyo.
Tuanze na chief judge ambae ni Rita Paulsen wengi tunamjua kama madam Rita, Rita alivaa metallic blush pink ball dress, we love the design, kifuani na mikono ilikuwa perfect ambacho hatukukipenda ni material ya hii nguo imefanya nguo ionekane mbaya na somehow cheap. Makeup, hair & accessories zilikuwa on point.

Judge mwingine ni Lady Jay Dee ambae yeye alivaa sequin sheer dress, tulipenda kwamba alichagua nguo fupi lakini ina make statement, the shoes & makeup zilikuwa on point ambacho hatukukipenda ni nywele the hair ruin the look imeonekana too much with the accessories on it issa NO. Tunatamani angeweka a simple bun bila makorokoro.

Hatujui kama judges walipania sana au vipi, Master Jay alivaa hii check suit ambayo kama ingevaliwa vyema angependeza sana, throw the tie away, throw hizo shoes na apate a classic shoes kama Oxford au Moccasin’s.

Idris Sultan showed up in agbada, we love the color & style tunatamani angetoa hio kofia imefanya the look isiwe na coordination but otherwise Idris alijitahidi.

Muigizaji Ebitoke na yeye alihudhuria katika onyesho hili, we love the makeup & hair. Gauni ni nzuri sana lakini haikuwa kwa mwili wake waswahili tunao msemo unasema “mjusi ndani ya gogo” basi ndivyo ambavyo Ebitoke alionekana.

Washiriki wa BSS wakiwa katika red carpet, lets say we love few look and few were just abomination

Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…