Mtangazaji Diva Loveness Love au Diva The Bawse amefunga ndoa na mpenzi wake wa week mbili ( according to them walianza mahusiano ndani ya week mbili wakaamua kufunga ndoa) bwana Abdulrazak Salum, Juzi walisheherekea ndoa yao kwa kufanya reception pale Hyatt.
Well kama ilivyokawaida kwetu tunawaletea review ya walivaa nini na je ni clap or slap?
Diva alivaa pearls ball gown kutoka kwa Wedding Lydia, tumependa gauni, headpiece ilikuwa matata the fact that nyele ili match na kiatu pamoja na maua was perfect, amemalizia muonekano wake na perfect makeup.



Bwana harusi yeye alivaa cream suit, white shirt akamaliza na black bow tie pamoja na viatu vyeusi, tunaweza kusema mionekano yao ilikuwa mizuri kabisa.
Kuna video imeonekana mitandaoni Diva akiwa amevalia fur sandals nyeupe tunadhani vile viatu vilikuwa extra’s kwaajili ya akichoka heels but tungependa kama ingekuwa sandal fulani classic ambayo ingeendana na tukio all in all ndoa njema kwao.
Bride: @divatheebawse
Grooms @sheikh_abdulrazak_salum
Photography: @20r_touchez
Assistant : @20r_junior
Dress: @wedding_lydia
Makeup: @sada_make_up
Flowers 💐 : @megyflowers
#selflove#weddingseason1d
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-diva-loveness-malinji-wedding-reception-outfits/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-diva-loveness-malinji-wedding-reception-outfits/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 18432 additional Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-diva-loveness-malinji-wedding-reception-outfits/ […]