Mwanamuziki kutoka Kundi La Weusi, George Sixtus Mdemu au wengi tunamfahamua kama G Nako Warawara weekend iliyopita alifunga ndoa na mpenziwe Yasinta. Hongera kwa G Nako na Yasinta.
Kama kawaida tunakuletea nini walivaa na kutoka kwa nani, sherehe zilikuwa tatu ambapo ni engagement, sendoff na ndoa yenyewe.
Siku ya engagement day, lets say hii engagement ilikuwa our favorite. The simplicity yaani hawakuvaa kukomoa kama ambavyo wengi wanafanya, walikuwa tu normal G Nako alivaa white shirt na gray trouser wakati yasinta alikuwa in green co-ord sets.
Siku ya send off Yasinta alivaa cut out blue embellished dress kutoka kwa mbunifu Mac Couture, tumependa design ya nguo, makeup, hair zilikuwa neat ambacho tuliona kipo off ni fitting ya nguo kifuani alibanwa sana. G Nako yeye alivaa suit ya blue, white shirt akamalizia na black shoes.
Siku ya harusi ilikuwa black white & Green Affair, ambapo Groomsmen walivaa white outfits na black shoes, oh we love this so fresh so clean, wakati kwa bridesmaids walivaa green dresses.
Wakati Yasinta alivaa Corset dress kutoka kwa mbunifu Kyamirwa, G Nako alivaa black suit kutoka kwa @afribongotz
Well Afromates harusi tulikuwa nayo na ikawe yenye kheri kwao.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-g-nako-outfits-from-his-wedding-ceremonies/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-g-nako-outfits-from-his-wedding-ceremonies/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-g-nako-outfits-from-his-wedding-ceremonies/ […]