Msemaji wa Simba bw. Haji Sunday Manara amefunga ndoa week iliyopita, alikuwa na sherehe ya kufunga ndoa na ukumbini, ambapo tumeona amevaa outfit nne yeye pamoja na mkewe na tupo hapa ku-review outfits zao.

Siku ya ndoa haji alivaa kanzu nyeupe yenye details za gold na kilemba na mkanda wa blue, huku mkewe akiwa in gold na pink dress.. tumependa nguo ya mwanamke alipendeza sana huku Haji tungependa hii blue ingekaa pembeni kidogo na wangempa the gold touch’s.
Ambapo outfit nyingine ambayo tuliwaona nayo hii, mwanamke alivaa pink dress yenye touch’s za gold safari hii alivaa dark pink wakati mara ya kwanza ilikuwa ni blush pink, Haji alivaa two pieces suruali nyekundu, nusu kanzu ya blue aliyo-match na kofia kamalizia na viatu vya gold ( kwa mfano suruali wangeifanya iwe ya gold au nyeupe wangepungukiwa nini?) all in all walipendeza.

Outfit ya tatu ilikuwa hii ambapo hizi mbili ni our favorite, Haji looked sharp in Ki2pe suit, the color ime mfanya a-pop akiwa amematch na nguo ya mkewe. Don’t they look lovely?

Ya mwisho ilikuwa ni hii black and white outfit, This is our favorite the dress was wow, Haji suit color imeendana na color yake he looked dapper.

Well Hongera kwa Haji Manara kwa kuvuta jiko & Afromates tuachie maoni yako ni outfit gani ulipenda zaidi?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…