Jumamosi iliyopita kulikuwa na Tuzo za Sound City Africa huko Nigeria ambapo watu maarufu mbalimbali walihudhuria katika Tuzo hizo huku Tanzania tukiwakilishwa na Hamisa Mobetto, Phina pamoja na Zuchu.
Kama ilivyo ada yetu tuliangalia nani amevaa nini na je tuliwakilishwa vyema au tia maji tia maji,
Tukianza na Hamisa, Hamisa alivalia hii mermaid dress, ambayo kwetu tumeona ame play safe yaani hakushtua wala hakuboa alikuwa tu Okay, tulishamuona na aina hii ya dresses toka miaka ya nyuma so hakikuwa kitu kigeni lakini pia hatusemi alizingua kama ambavyo tumesema hapo juu alikuwa okay.



Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-hamisa-mobettozuchu-phina-looks-at-soundcity-africa-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-hamisa-mobettozuchu-phina-looks-at-soundcity-africa-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-hamisa-mobettozuchu-phina-looks-at-soundcity-africa-awards/ […]