Mwanamuziki wa Injili kutoka Tanzania Joel Lwaga amefunga ndoa week iliyopita, ambapo alikuwa na sherehe mbili ya send off na ndoa. Hongera kwa Joel na mkewe lakini pia tusinge acha ipite bila kufanya review ya outfit zao katika sherehe hizi mbili
Tuanze na sendoff ambapo outfit zao zilileta gumzo kwenye mitandao ya kijamii, kutokana na makosa mbalimbali ambayo yalionekana na tupo hapa kuya highlight

- Viatu vya Joel vilikuwa a miss sio tu vidogo bali pia havikuendana na outfit
- Kofia ilikuwa un-necessary
- Layering ya koti na alichovaa ndani ya coat pia ilikuwa a very messy situation
- Kwa mke the crown na namna ambavyo nywele zimekuwa styled ilikuwa off
- the extra black tail pia haikuwa na umuhimu
Kuhusu kuvaa nguo nyeusi ni kawaida na ni namna nzuri ya kuwa tofauti kama wangekuwa styled well basi wangependeza mno
Siku ya harusi Joel alikuwa on point the black suit ime-mfit well, viatu on point, nywele kila kitu kilikuwa sawa tunaweza kusema bwana harusi tulikuwa nae.

Kwa upande wa bibi harusi alipendeza sana in her white lace dress, hair ilikua on point, ambacho kilikuwa a miss kwetu ni gauni ili m’bana sana lakini pia chini kulikuwa na pindo hatujajua hili pindo liliwekwa last minute au liliwekwa kwa lengo gani limeondoa kabisa muonekano mzuri wa hii gauni.
All in all hongera kwao na ikawe ndoa ya kheri.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…