Mwanamuziki Linah Sanga alikuwa moja ya watu maarufu waliohudhuria katika kitchen party ya Nandy, Linah alivaa hii nguo kutoka kwa mbunifu Allie Clothings. No shade to Allie maana tunajua kazi zake na yeye ndie aliyemvalisha Ammy Gal Tz, but this look kwa Linah was confusing.
Hatujui kwamba ni ilikuwa a last minute call mkaamua tu kumvalisha hii nguo but this was not it, sote tunajua ilikupata look kuna vitu kadhaa unaangalia na kuzingatia hii ina include mahali uendapo, tunataka kujua why Linah alivaa a stage outfit kwenye kitchen party, sehemu ambapo anaenda kukutana na watu tofauti pamoja na ndugu za Nandy. Okay labda ni wazungu wanaelewa and all but this look was a no kwenye hii occassion.
Tunatamani hii material inaning’inia chini ingewekwa kwenye kifua instead, sisi sio wabunifu ila hapa mbele alot was going on tunaweza kuona the struggle ya kutaka kuficha sehemu kama kifua, tumbo na hiki kilicho ning’inia mbele tunadhani hii look ilitengenezwa wakiwa na haraka.
And tunajua Allie ameshafanya kazi nyingi na Linah ni bora tungerudia kuvaa zile ambazo alivaa kwenye photoshoot may be angekuwa out of theme kuliko kuwa kwenye theme lakini kuwa mentioned kwenye worst look of the event next time kama mbunifu Allie makesure unalinda jina lako.


The makeup and hair was on point though.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 26478 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-linahs-look-kwenye-kitchen-party-ya-nandy/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-linahs-look-kwenye-kitchen-party-ya-nandy/ […]