Kajala na Paula wamekuja na reality show yao ambayo imepiwa jina la “Behind The Gram” reality show hii itaonyesha maisha yao behind na social media. Walizindua reality show yao siku ya Jumatano, Hyatt Regency na tupo hapa ku-review mionekano yao.
Paula alivalishwa na Rackel Stylish, alivaa ball gawn ya pink na silver huku makeup akiwa amefanyiwa na makeup by Eddie, hii nguo ilikuwa ya red carpet ndani alikuwa na gauni nyingine fupi, well gauni si baya hongera kwa mbunifu

ambacho tunatatizo nacho ni kwamba the dress is too heavy kwa event, Paula bado kijana ana umbo zuri la kuvaa vingi zaidi ya hizi ball gown’s, juu gauni mtindo mzuti tatizo tulilokuwa nalo ni chini labda ingekuwa ni nguo ya kubana ingekuwa vyema zaidi.
Kajala nae alivalishwa na Rachel Stylish, gauni ilikuwa white off shoulder dress ambayo inaonyesha pembeni, the design ni nzuri haipo na kelele na sio heavy. ambacho kimeonekana ni rangi ya gauni, the color is giving wedding, ama reception dress na sio red carpet dress ingekuwa kwa rangi tofauti kama red tunadhani inge stand out zaidi.

Wageni waalikwa Zamaradi na mumewe walipendeza perfect fit for a reality show launch, nguo sio heavy na wala sio casual sana wame balance.

Phina in red outfit, hii nayo ni nzuri, hajawa too much wala too simple, chic and event appropiate.

Hawa wa mwisho tunakuachia wewe ndugu msomaji utupe maoni yako je mionekano yao umeipenda au lah? ni waigizaji kutoka katika Tamthilia ya Jua Kali

Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…