Siku ya Jumapili iliyopita kulikuwa na sherehe ya moja ya member ya group inayojiita drama queen ( Irene Uwoya, Wema Sepetu, Kajala Masanja, Aunty Ezekiel, Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael). Sherehe hii ilikuwa ya mtoto wa Irene Uwoya na wenzie walienda ku-show support, walichagua Nigerian Theme ( the most comfortable theme to use) na as usual hii theme huwa tunaitendea haki. Well lets see nani alivaa nini,
Tuanze na mwenye shughuli ambae ni Irene Uwoya, Tumependa the look, ambavyo ame-accessorize na kuubeba muonekano mzima, makeup on point, perfect shoe choice. Clean and classy.


Wema Sepetu looked like a doll in Martin Kadinda Dress, tumependa vazi lake, hereni na viatu vilikuwa perfect a clutch imetuangusha tunatamani angebeba ya silver na sio ya kuning’inia, makeup ilikuwa on point pia.


Elizabeth Michael In Elisha Red Label, na yeye alipendeza in showing legs and creavage, makeup and shoe choice ilikuwa on point.


Kajala In Martin Kadinda, Kajala huwa haonekani sana kwenye shughuli na mionekano yake mara nyingi huwa kawaida, tumependa hii look kutoka kwake, namna ambavyo nguo ime m-fit lakini pia how she went minimum kwenye accessories.


Na wa mwisho ni Wolper kwamaelezo yake ni kwamba fundi alizingua ikabidi avae tu hii, kwake tunakuachia wewe mate tuambie je ni clap or slap


Tuambie ni nani amekuvutia zaidi na vazi lake?
Related posts
7 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-looks-from-drama-queens/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-looks-from-drama-queens/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-looks-from-drama-queens/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-looks-from-drama-queens/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 50342 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-looks-from-drama-queens/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 69173 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-looks-from-drama-queens/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-looks-from-drama-queens/ […]