Imekuwa muda kidogo sinse tufanye review za looks za watu maarufu weekly na hii ni kutokana na kwamba mara nyingi looks zinakuwa so/so, kama haijajirudia basi ni za kawaida sana well this week imekuwa tofauti kidogo as kila tunapopita tumekutana na looks zinazovutia kwa namna moja au nyingine tukaona si vibaya tukizileta na wengine mjionee kama ni mishono muige.
Tukianza na Fahyma pamoja na Zuchu ambao walikuwa wedding guest kwenye harusi ya Don Fumbwe na Juju, wote walivalia embellished black dresses wakati Zuchu akiwa amevalia corset black dress yenye tail pembeni ikiwa ina urembo mzuri kabisa maeneo ya kifuani na mikononi, tunatamani Zuchu ajue hii ndio mikato inayomfaa no hatusemi kwamba avae magauni ya kuburuza ila tunasema anahitaji ku-upgrade kabati lake kwa mavazi yanayovutia na kueleweka kama haya,πΒ @emeraldglowsπΒ @mahaumesπ©βπ¦°Β @wigs_by_vecyπββοΈΒ @khaleesi_beautyparlour
πΈΒ @blaq._
Fahyma nae alikuwa amevalia black dress ambayo ilikuwa na silver applique’s huku chini ikiwa na mshazali ndani yake alivalia stockings nyeusi amemalizia na pumps nyeusi, the whole look screams stylish & we took our time to create this yaani mbunifu alichukua muda wake kubuni, kushona na ku-style kuna looks ukiona unaona tu hii ilikuwa rushed na zile ukiona unajua hii walikaa waka discuss wakafaya na fittings kujua nini kitoke nini kibaki. ndio hii ya Fahyma sasa.
Dressed @nellsoamtee Makeup @glorylasway Hair @certified_perucaz πΈ @sakshed
Shoes @fahymalovestyles Nails @leestoretz


Wengine ambao tumewaona week hii ni Jokate Mwegelo ambae na yeye alikuwa mgeni mualikwa kwenye harusi akiwa amevalia orange peplum dress, tumemuona Muna Love akiwa amevalia purple corset dress kutoka kwa Salehe Hamimu


Well tuambie look ya nani imekuvutia zaidi kati ya hawa wanne?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…