Event ya malkia wa nguvu 2021 imefanyika jumamosi ya tarehe 24, watu maarufu mbalimbali walihudhuria event hii na kuna wale waliopenda na waliotupa mshangao, tuanze na kusema ilikuwa ni sad red carpet kuiona mwaka 2021 they took us back to 90’s kweusi.
Tuanze na Best Dressed wa siku hii,
Waliopendeza ni Frida Amani, ambae alivalia red skirt, na sequin top akamalizia muonekano wake na statement accessories.
Meena Ally ambae alivalia a very classic black dress na red turban akiwa amemalizia muonekano wake na makeup nzuri.
Wengine ni Lilian Masuka na Anderson Dickson
Ambao kwa siku hii hawakutokea inavyotakiwa kabisa kabisa ni
Mamy Baby Tz, muonekano wake ulikuwa na alot going on, gauni yenyewe ina lace, sequin, pull neck vitu kibao ambavyo labda vichache vingepungua tungeelewa pia kichwani aliongezea kiua chekundu which ilikuwa ni unnecessary.
Babuu wa kitaa, we get it alikuwa inspired na Scottish style (Kilt, knee-length) lakini ilifanyika very wrong kuanzia viatu, socks na fitting kwa ujumla.
Dahuu alikuwa na idea lakini fundi alimchoresha, tunatamani kama angeacha suit iwe nyeusi tu bila vikamba vyekundu, vimeharibu idea yote na muonekano mzima.
well ni matumaini yetu mwakani kutakuwa na maendeleo na mchaguzi wa rangi hizi rangi ni ngumu mno, ndio maana wengi wameend up kuharibu.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-malkia-wa-nguvu-red-carpet-looks/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 74530 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-malkia-wa-nguvu-red-carpet-looks/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-malkia-wa-nguvu-red-carpet-looks/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-malkia-wa-nguvu-red-carpet-looks/ […]
gym music 2023
gym music 2023