Ikiwa ni Ijumaa nyingine katika Mwezi huu Mtukufu Wa Ramadhani tunakuletea collection za mavazi ya stara ambazo zilikuwa debuted katika jukwaa la Stara Fashion Week 2018, Katika collection ambazo tumezipenda hii nayo ilikuwa moja wapo. Unajistiri lakini yet upo fashionable.
Mbunifu wa Collection hii anaitwa Halima Sebuge, ametupa kiasi ya jinsi ambavyo sisi tulitegemea kuona, sio wengi ambao wanaweza kuvaa mabaibui tulitegemea kuona wabunifu wanabuni mavazi mengine ambayo yatawagusa wengine pia na hicho ndicho Halima amefanya mavazi yake yanamgusa kila mtu wa rika tofauti tofauti. katika collection yake kulikuwa na skirts, blouse, suruali etc.
Tukianza na hizi two pieces ambazo sisi zilituvutia sana ni kwa sababu zipo simple & elegant, zinaweza kuvaliwa kazini, kama umealikwa katika ftari lakini pia unaweza kuvaa kimoja kimoja inategemea na unavyo penda.
Colorful ikiwa wengine walikuwa na collection ambazo rangi zao zipo calm Mima yeye alichagua kuwa na rangi katika collection yake tumependa hii ambayo inatoka kwake ni corporate pieces ambazo nazo unaweza kuvaa tofauti tofauti na sehemu tofauti,major key alert katika kununua mavazi ni kujua je ni multi factional? inawezekana kuvaliwa sehemu tofauti na nyakati tofauti? lakini je inaweza kuvalika na mavazi mengine?
Stripes, Stripes patterns tumeziona katika run way za wabunifu mbalimbali lakini katika mavazi ya Stara si mara nringi utakuta wame tumia fabrics au patters za aina hii mbunifu Halima ametuletea namna ambavyo inaweza kutumika katika mavazi ya stara pia, keeping it modest lakini pia trendy & fashionable.
Ruffle trend – katika collection yake hii Halima pia amejitaidi kuweka trend ambazo zinakiki duniani katika modest way, ambapo tumeone ruffle trend ikiwepo katika collection yake kama blouse na magauni
Tumependa hii collection kama ambacho tunaweza kumshauri Halima ni basi awe more creative most of her pieces ni nzuri lakini zipo simple sana yoyote anaweza kufanya, lakini pia kuongeza more unique touch’s katika ubunifu wake. Lakini tumependa hii collection.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-mimas-2018-collection/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-mimas-2018-collection/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-mimas-2018-collection/ […]