Ikiwa tunaona kwa sasa wanamuziki wana jitahidi kufanya video’s nzuri za miziki yao lakini pia kujaribu kuvaa vizuri na kushirikisha stylist, tumeona video ya Mimi Mars – Sitamani ilivyo kuwa nzuri well dressed na ipo clear, tumeona kwanini tusikumbuke zile za zamani, leo katika throw back tunakuletea wimbo wa Mapozi kutoka kwa mwanamuziki Mr. Blue.
Well kama ulikuwa wa miaka ya 90’s mpaka 2000 utakua unaujua huu wimbo, kila mtu alikua anauimba the fact that Mr. Blue alikua mdogo kipindi hiki na akatoa hit ambayo kila mtu aliielewa ni something else. Well tuanze ku-review fashion sense katika video hii.
Over Sized ClothÂ
Zamani over size was a thing na inaonekana kurudi, tuki judge kwa sasa unaweza kuona jinsi ambavyo Blue ana jitahidi kuweka mikono mifukoni na kuishika ili imkae vizuri, alikuwa na mwili mdogo kipindi hiki na nguo kubwa sinaweza kumtosha baunsa wa Diamond Platnumz, lakini kwa kipindi hiko he was on point.
Full Jersey Outfit kama una kumbuka vizuri ilikuwa kuvaa full jersey au jersey vest tu ni trend amlost kila mkaka alivaa haya mavazi, zilikuwa ndefu na zina kwapa kubwa but hey its fashion right? na kwenye huu wimbo utaona kwamba asilimia 85% Blue amevaa full jersey outfit na kofia alizo match nazo.
One Vest Blue amevaa hii vest video nzima, part aliyo lala, pale alipo kaa anaimba na vest tu lakini ukiangalia kwa makini katika mavazi yake kama hio ya full track utaona hii vest inachungulia pia.
Long Chain hatujui why na wapi aliipata but Blue hii chain ilikuaje mwenzetu ilikuwa ndefu mno unaweza kugeuza kitanzi ukajitundika.
The girl hajaonekana mara nyingi lakini most of the time ameonekana kavaa full outfit zinazo fanana,
Well je ungependa kuona video gani tukiireview? tuambie katika box la comment.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 82848 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-mr-blues-video-mapozi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-mr-blues-video-mapozi/ […]