Jumapili ilikuwa sherehe ya kitchen party ya Faustina Charles Mfinaga a.ka Nandy na watu maarufu wengi walihudhuria ambapo wengi wao walipendeza mno. Rangi za usiku huu zilikuwa gold,njano,nyekundu pamoja na nyeupe. Kama ilivyo ada ni lazima tutoe two cents zetu kwenye mionekano tuanze na mwenye sherehe.
Ikiwa yeye ni mwenye sherehe Nandy alienda tofauti kidogo na waalikwa ambapo alivaa red layered tulle dress ambayo ilikuwa na spaghetti strap’s, dress hii ilikuwa na emballished stones kifuani alimalizia muonekano wake na head gear ambayo wengi walionekana kutokuvutiwa nayo, all we can say ni kwamba tunadhani walijaribu kumfanya awe comfortable kwenye siku hii bila kubwanwa sana ikiwa pia ni mjamzito, tumependa kwamba wamemtofautisha color na wageni kwa maana wageni walipania sana hii siku. Makeup was on point.


MUA @glorylasway
Dress @thee.red.label
Sishkiki Sikamatiki kama ambavyo jina lake linavyojieleza Sishkiki looked dazzling in Elisha Red Label corset dress, tumependa fitting, tumependa design namna ambavyo cups hazijapelea kifuani and the slit chini just wow, she understood & delivered the assigment.


. MUA: @makeupbyjojotz
. 📷: @prez_rajay
. Accessories: @gee_star_jewellery
. Dress: @thee.red.label
Fahyvanny yeye alivalishwa na Kyamirwa, tumependa namna ambavyo wame co-ordinate colors zote za siku hii kwenye hii nguo bila ya kuwa too much, yeye na team yake walieelewa assigment, from the accessories, makeup, dress everything was on point.


Dressed @kyamirwa
Luxury George fabrics: @alasoketanzania
Gele and kipepeo: @alasoketanzania
Original coral and gold accessories: @jewelleriesbycrystal
Ammy Gal Tz tungekuwa na sehemu ya kuweka audio ya vigelegele tungeweka, toka alipotoka mpaka hapa alipofikia Ammy ameupiga mwingi, loved everything about this look.


MUA @queennuru_makeup 🥰
👗 @allie_clothings 🙌🏼
📸 @_benjooh
Mamy Baby Tz akiwa amevalishwa na Ndesag Design, tunaweza kusema alipendeza, tunatamani maua yasingekuwepo hapo mbele maana yame stole attention ya outfit but everything else is on point.


fit by @ndesag_designs
📷 : @_benjooh
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…