Mwanamuziki maarufu Mwanahawa Abdul Juma au wengi tunamjua kama Queen Darleen amefungua ndoa siku hizi za karibuni. Queen Darleen alikuwa na sherehe mbalimbali ikiwepo ndoa, saba pamoja na maulid.
Leo tunaongelea kuhusu mavazi haya,
Katika ndoa Queen Darleen alivaa Arabian Theme hapa alivaa gold & off white dress huku kichwani akiwa amevalia kiremba cha gold na kumalizia na statement accessories, aliamua kuchagua nude for face beat. Sisi tunaiita hii look a calm storm, hakutaka too much lakini pia hakuwa too less.

Wakati katika saba Queen Darleen alichagua Nigerian Theme, alivalia mavazi ya rangi ya carrot huku akiwa amemalizia na gele pamoja na kitupio cha purple, katika huu muonekano Queen pia alichagua calm makeup huku akiwa amemalizia na accessories ndogo ndogo.

Vazi la tatu ambalo hili alilivaa katika sherehe ya maulid, Queen Darleen alichagua Indian Theme, alivaa saree ya rangi nyekundu na gold, accessories za gold na kumalizia na makeup ya nude.

Wakati outfit ya mwisho Darleen alivaa a strapless blush pink mermaid dress akiwa amemalizia na statement jewelries huku akiwa amerudisha nywele zake nyuma vizuri na makeup ikiendelea kuwa nude.

Afromates tuambie outfit ipi kati ya hizi umeipenda zaidi?
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 97161 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-queen-darleens-outfits-on-her-wedding-ceremonies/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-queen-darleens-outfits-on-her-wedding-ceremonies/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-queen-darleens-outfits-on-her-wedding-ceremonies/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 62893 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/reviewing-queen-darleens-outfits-on-her-wedding-ceremonies/ […]
cafe
cafe