Anaitwa Raymond a.k.a Rayvanny mwanamuziki kutoka katika label kubwa ya WCB inayo milikiwa na mwanamuziki Diamond Platnumz. Juzi walimtambulisha msanii mpya katika label yao lakini pia walizindua wimbo wake mpya, katika hafla hio wali attend watu maarufu mbalimbali kutoka katika label hio na wengine ambao walialikwa.
Theme ya hafla ilikua kiasili yaani ki Africa zaidi, vitenge, khanga,shanga etc vilitakiwa kuhusika sana japo kitenge ndio kilitawala sana. Moja kati ya watu maarufu waliokuwepo ni Rayvanny na mama mtoto wake Fayma, ambao wao outfit yao ilichukua attention yetu kidogo
This outfit imetufanya tujifikirie hawa designer wetu huwa wanafikiria rangi, sehemu watu wanapo enda na quality? au sababu tu msanii akisema kashonewa na fulani unapata jina unardhika?
Kama wangependa ku-match mitoko tunadhani wangechagua rangi iliyotulia zaidi, hii rangi ina shout mno kwa wote kuvaa kitenge kimoja.
Hii outfit ya Ray Vanny tumeshaiona mara nyingi kwa wasanii mbalimbali tunadhani labda asingevalishwa two pieces na hio rangi imekua too much.
Tumependa gauni ya Faymah japo huu mkia sio our favorite kabisa una quality mbaya na hatujui umewekwa kwa sababu gani, Faymah ana body nzuri angepewa kitu ambacho kimemkaa vizuri angependeza zaidi.
Wabunifu wetu mnao wavalisha hawa wasanii mna hitaji kuongeza nguvu kwenye kazi zenu na mkubali kukosolewa pale mnapo kosea.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…