Linapo kuja swala la mitindo na urembo leave it to mwanadada Rihanna, wakati wafuasi wake wa muziki wakipiga kelel kwa kutaka nyimbo mpya redioni Rihanna yupo busy kujenga empire yake katika ulimwengu wa mitindo na urembo.
Ukitajiwa Rihanna katika ulimwengu wa mitindo vitu vingi vitakujua kichwani kimoja wapo ni trend setter na risk taker, Rihanna does it differently sio kama ambavyo wengi tumezoea tumeshamuona katika mavazi ya aina mbalimbali na amesha set trends mbalimbali ikiwepo ya over sized cloth. Basi safari hii amekuja na hii ya kuvaa short skirt kama accessory,
Mara ya kwanza kumuona Rihanna akiwa amevali hii skirt alipost picha yake hii istagram na ku-caption “When Your Skirt Is Too Short”, Riri alivaa a denim straight legs trouser na silk pajama top, akiwa kwa juu ya top amevalia skirt hii fupi ya jeans, amemaliza muonekano wake na choker na jewelry nyingine.
Mara ya pili Riri alionekana kutoka katika club mjini London akiwa amevalia shirt nyeupe, skirt fupi kidogo ya denim ambapo juu yake akiwa amevalia a very short mini skirt, ni kama a skirt on top of a skirt amemalizia muonekano wake na plastic sandals pamoja na brown balenciaga necklace na statement Africa chain
Well kwetu tunaweza kusema only Rihanna can pull this look, as crazy as she is. Labda wewe ungetuambia unamuona mtu maarufu gani ambae anaweza kuvaa hivi na je umeipenda hii style au lah?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/rihanna-aja-na-style-hii-ya-kuvaa-short-skirt/ […]