Rihanna kawa mwanamke wa kwanza mweusi kuwa katika cover ya British Vogue Magazine September Issue, katika cover hii Rihanna amevaa hot pink Prada dress, Savage x Fenty gloves, a flower headdress and thin, huku kitu ambacho kime make headlines katika mitandao ya kijamii ni wanja wake katika hii cover, Amepaka wanja wa zamani ule ambao ni mwembamba kupita kiasi ( we hope this wont be a big trend kwenye urembo)
Wengi wameonekana kuto kuvutiwa na wanja huu ( sisi pia ), tukimaanisha tulisha pita hii phase na haikuwa nzuri, but again its a magazine cover inabidi uwe na kitu extra cha kufanya uongelewe ukizingatia ni umuhimu wa September issue katika fashion world, the brows hazija chukua attention ya sisi kusahau jinsi ambavyo hii makeup imetulia we love the ombre liquid lipstick.
Rihanna wears a wool/silk tuxedo jacket by Alexander McQueen, lace gloves by Cornelia James and tights by Jonathan Aston
Rihanna wears a floral dress by Noir Kei Ninomiya at Dover Street Market and satin and suede boots by Gianvito Rossi, Well mara nyingine tena Rihanna ame prove she can wear anything and make it look good.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…