Yes Rihanna ame fall in love tena lakini kwa sasa sio na mwanamuziki, muigizaji wala mcheza mpira, Rihanna is in love na hii dior saddle bag seems Rihanna ana ipenda sana hii bag na ana libeba mara kwa mara
Kwa bahati mbaya hii pochi haipo kwenye maduka yet yaani Rihanna ndio mtu wa kwanza kulibeba bado halijawa released katika maduka
na fan’s wa Rihanna (including us) wanaonekana wakilisubiri kwa hamu liachiwe waweze kulinunua inaonekana Dior wanajiandaa na sold out kwa upande wa hili pochi.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/rihanna-is-in-love-again-not-with-a-singer-this-time-around/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 93439 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/rihanna-is-in-love-again-not-with-a-singer-this-time-around/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/rihanna-is-in-love-again-not-with-a-singer-this-time-around/ […]