Rihanna huyu dada ana weza kuvaa chochote na aka pendeza, siku hizi mbili tatu ame tuonyesha jinsi gani ana weza aka style chochote na kikamkaa vyema
Hapa alivaa suruali ya tracksuit, sweta ambalo mkono wake mmoja umekatwa fulani, heels na miwani huwezi kataa kwamba riri ana damu ya nguo na ana jaribu, hili vazi ange vaa mwingine ange onekana kituko hasa.
Hapa akiwa ame vaa fur heart jacket, labda ailikua ana tuonyesha yupo in love lakini pia si kitu ambacho mtu mwingine ange waza kuvaa.
Hapa amevaa denim on denim una weza kuona Riri kama ni yeye au stylist wake wana fikiria mbali, kwa mwingine ange vaa hako ka gauni tu na hizo boots au suruali juu top nyingine lakini Riri ame zi combine na imeleta muonekano mzuri.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…