Coachella ni tamasha la muziki na sanaa ambalo hufanyika mara moja kila mwaka, katika tamasha hili watu maarufu wengi wana hudhuria wengine waki perform na wengine wanaenda ku-show support na kuenjoy, well wengi huwa wana vaa less sio kama vile ambavyo tumewazoea kwa sababu ni music and art festival unaweza kukutana na mtu maarufu kavaa crop top na short pants au t-shirt simple well that is not on Rihanna’s list.
Mwaka jana Rihanna owned coachella na outfit yake hii kutoka kwa mbunifu Gucci, ambapo kila mtu aliiongelea we all know Rihanna is a dare devil.
Mwaka huu pia ameonekana kutokutaka kuwa less kama wengine as tumeona outfit zake 3 na zote ni bomb
siku ya kwanza ambpo ilikuwa ni ijumaa Rihanna ali attend coachella akiwa amevalia white Chrome Hearts set, ambapo alipost picha yake na kuandika “The 60s started it” kwamba alikuwa inspired na the 60’s fashion na ndiyo ameanza nayo. hakuishia hapa
Jumamosi Rihanna alihudhuria Coachella akiwa amevaa Y/Project look from the label’s fall 2018 runway. Ilikuwa full brown outfit, only Ri can pull this look.
Jumapili Rihanna ali-attend coachella akiwa amevalia Russ Meyer crewneck and ski mask look from Gucci’s fall 2018 collection.
Can we all agree that Ri owned Coachella linapo kuja swala la fashion, its like she is saying going less for what? for Who?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/rihanna-owning-coachella/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/rihanna-owning-coachella/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/rihanna-owning-coachella/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/rihanna-owning-coachella/ […]