Kama kuna kitu Rihanna A.K.A Ba Gal Riri anapenda kufanya ni kuonyesha how wealth she is, mwaka huu kwenye red carpet ya Met Gala aliulizwa anajisikiaje akajibu anajisikia expensive, who wouldn’t akiwa kama bilionea kwa sasa, mama na C.E.O wa kampuni kubwa ya vipodozi?
Well Riri amekuwa akituonyesha jewelry zake ambazo si za kawaida na ni za gharama kubwa hivi karibuni kupitia insta story yake alipost video akitembea huku amevalia pete ya Diamond na kwa wakali wa hizi mambo wanasema ni 9 Carat Diamond Ring, imevaliwa mguuni.
Well haikuwezekana kujulikana moja kwa moja bei ya hii pete lakini kwa ukubwa wa stone unajua kabisa sio pesa za madafu.
Week hii akiwa kwenye Fashion Show ya Louis Vuitton, Rihanna alionekana akiwa amevalia hii choker yenye saa ambayo inatoka katika kampuni ya Jacob & Co ambayo inaaminika inauzwa USD 670,000/ sawa na Tsh 1,610,680,000/-

Inasemekana The 47-mm white gold Brilliant Flying Tourbillon, imetengenezwa kwa 368 diamonds na imebuniwa kuvaliwa kama choker, lakini pia hii design ni collaboration kati ya Rihanna na Jacob & Co.
Lakini pia hii piece haipatikani kwa kila mtu, The timepiece-choker comes directly from the mind of Rihanna herself, according to Jacob & Co. “In preparation for the fashion event, Rihanna decided she would wear a timepiece in a completely different way,” the brand said in a statement. “She came to Jacob & Co. with the concept, like she had many times before.” Rihanna and Jacob & Co. founder Jacob Arabo went through several options before she ultimately chose this particular timepiece
Haya tuambie kwako umeipenda ipi kati ya hizi the choker au hio pete hapo kidoleni?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…