Tukiwa tunaelekea katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, wenzetu wame tuandalia Stara Fashion Week ambayo hii kutakuwa na vitu mbali mbali vya stara, Tukiongelea Stara tunamaanisha kujistiri kuvaa ukiwa ume funika maungo yako. Kizuri kuhusu Stara Fashion Week ni kwamba una pata kila kitu kwa wakati mmoja sote tunajua ugumu wa kutafuta skirt ndefu, mabaibui, Al Oud, Kupata Mitandao etc lakini hapa utavipata vyote bila tabu na did we mention kuta kuwa na punguzo la bei? yes kutakua na punguzo la bei kwa baadhi ya vitu.
Lakini pia utapata nafasi ya kuona collection mpya za wabunifu mbali mbali akiwepo Asia Michiko, My Hijab My Stara na wengine wengi. Hutakiwi kupitwa na hili ticket zina patikana sehemu zilizo tajwa hapo chini
Tukutane huko tupate kujua mengi na ku shop shop shop. Ijumaa Mubarak
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…