Tuna kubali ni sisi afroswagga tulio washauri wasanii wengine wa hip hop wa kike Nchini kwetu wamuangalie Rosa Lee kwa sababu tulimuona yeye ni rapper lakini ana pendeza, yes anapendeza kuliko wengine ambao wana jiachia na kuvaa vibaya kwa kisingizio/kivuli cha hip hop wakati hii stage ilisha vukwa miaka mingi sasa hata wakina Queen Latifa wanavaa sexie siku hizi.
Lakini Rosa nini tatizo mama? Mbona hubadiliki? Una mwili,una penda fashion, make up lakini why kila siku ni crop top’s na legging’s,hot pants na suruali za hapa na pale? mwaka jana wote umevaa nguo za aina hii tu ukibadilisha ni suit au swim wear, tuna hitaji kukuona katika mionekano mengine, gauni, jumpsuits,skirts, nice looks sio lazima ufanyie photoshoot badilisha style basi tu surprise.
Pia ana tatizo la nywele una suka half head mara zote ni kwamba haiwezekani wewe kusuka kichwa kizima? Au umeamua kuwa female version ya madenge maana yeye ndio miaka nenda rudi ana kijiduku chake kichwani.
Rosa you have the body & swags vitumie basi kutukomesha.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/rosa-lee-anahitaji-kwenda-shopping-ya-mavazi-mengine/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/rosa-lee-anahitaji-kwenda-shopping-ya-mavazi-mengine/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/rosa-lee-anahitaji-kwenda-shopping-ya-mavazi-mengine/ […]