Unaweza ukawa hujawai kusikia tights zinazo itwa Fishnet au labda una zijua lakini hujui jina lake, hizi ni zile tights zenye matobo kama net ya kuvulia samaki ndio maana \ikaitwa fishnet tights.
Mara ya kwanza tulizona kwa trend setter Rihanna wakati ana perfom katika VMA’S (Video Music Awards) ambapo alivalia tights hizi na pair ya leather trouser
lakini pia tukaja kumuona mama North au Kim Kardashian akiwa topless na jeans na hizi tights,
Tukaja kuwaoana ma blogger wengi wakiwa wamevalia trendy hii lakini kwa hapa kwetu tume waona baadhi ya watu wakiwa wame vutiwa na hii trendy kama msanii wa kike hiphop kutoka kundi la The Indusrty mwanadada rosa_ree akiwa amevaa trend hii na pair ya short black pant akiwa amevalia na blazia na net vest
pia tume kuja kuiona kwa msanii mwingine Dayna Nyange yeye alivaa tights hizi na ripped denim jeans ambapo bloggers wengi wameonekana kuivaa trend hii kwa style hii
pia tumemuona personal stylist anaitwa joujou nyaki kutoks joujou house of style nae akiwa amevalia kama ambavyo bloggers wengi wame valia na ripped denim trouser
kwetu tume penda trend hasa ikivaliwa na ripped jeans ina leta muonekano fulani funky and fun kama Jokate alivyo sema play with your clothes
Tupe maoni yako kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…