Glitz Africa Fashion Week imeanza huko Ghana, wabunifu kutoka Africa wameshiriki ku-show case collection zao, kuna vingi ambavyo tumeviona na vya kujifunza katika Glitz Africa Fashion Week tukiwa tunaelekea katika SFW 2018 let’s see wenzetu wameonyesha mitindo gani.
LUMIERE WOMEN did women of middle age and young women a favor kwa kuwapa hii collection, we love the designs na jinsi ambavyo zimekuwa styled, tuseme tu wenzetu wanatumia stylist kwenye runway zao na ndio maana kila collection inaonekana kuvutia. Tumependa turbans, accessories the designs & fabrics are wearable
Bespoke designer Mai Atafo gave us neutral vibes with a dash of colors hii collection inatukumbusha collection ya fendi spring summer 2019 ndio walikuwa na collection ambayo ilichanganya neutral colors na colors za kuwaka, well seems like Mai Atafo took notes yeye akageuza zikawa in a bespoke way. Tumependa the 80’s vibe zilivyo wekwa kuonekana kisasa.
Nonnistics wao walitupa wedding dresses goals so fresh, colors zipo perfect we love the collection
Tumependa hii look kutoka kwa THE HOUSE OF PAÒN, jinsi ambavyo wame mix prints uniqueness ya print yenyewe na namna ambavyo wame m-style model na hizi thigh high animal prints boots its perfect a run way look in deed
Muonekano mwingine ambao tumeupenda ni kutoka kwa mbunifu moofa designs na yeye tumependa namna alivyo cheza na fabrics na prints all you need is a stylist
Colorful Collection kutoka kwa mbunifu Roksana kutoka Nigeria, Ambacho tunajifunza hapa ni kucheza na vitambaa, kwetu tumezoea kuwavalisha au kubuni mavazi ya rangi moja wakati mwwingine we need to take risk na kutoka ouf of our comfort zone,the styling is on point japo nywele na makeup za models hazija turidhisha. Kama models wangekuwa na makeup nzuri na hair styles nzuri basi this collection ingekuwa on another level
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/runway-report-from-glitz-africa-fashion-week-2018/ […]