Kama ume-notice Off shoulder top’s huwa zinakuja na kuondoka kila mwaka, ni trend ambayo ipo miaka nenda miaka rudi. Inaweza kuwa off shoulder, one shoulder etc hii hutokana na designers na maamuzi yao ya kufanya tops hizi zi-trend kwa aina gani.
Well leo tunakuletea sababu 3 kwanini uvae au uwe nayo hii off shoulder top
- Huvalika mara nyingi
Kwa off shoulder tops huvalika mara nyingi iwezekanavyo iwe casual, night out, kazini etc unaweza kuvaa off shoulder top na skin jeans au bukta na raba kwa casual, ukitaka kuvaa night out unaweza kuvaa na leather min skirt na open toe heels lakini pia unaweza kuivaa kazini kama accessory nje ya shirt la kazini.

2. Comfort
Wengi hudhani kuvaa off shoulder top kuna kufanya uwe un- Comfortable lakini ukweli ni kwamba hii style ni moja ya styles ambazo zipo very comfortable. Off shoulder top nyingi huwa over sized ambapo zinakufanya uwe huru na mikono yako, lakini pia kukuwezesha kupumua vyema bila kubanwa.

3. Stylish
Hii ni dhahiri, off shoulder tops zipo tofauti na regular tops hizi zinakufanya uwe stylish na unique ikiwa wengi wanazikimbia kutokana na mtindo wake mnakuwa wachache ambao mna-dare mtindo huu na kuwafanya muonekane unique & stylish. Lakini pia ni namna ambavyo inakufanya uonyeshe a little skin, without showing too much, which is flattering .

Well unaweza ku-shop off shoulder top hio hapo juu dukani kwetu @afroswaggastore zipo kila size. Au tupigie kwa number 0765 768 667 Kuweka order yako, lakini pia tuambie je wewe huwa una-own off shoulder?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 89131 more Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/sababu-3-kwanini-uvae-off-shoulder-tops/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 73621 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/sababu-3-kwanini-uvae-off-shoulder-tops/ […]