Unapenda fashion unapenda kuvaa vizuri, una mavazi mazuri lakini chakushangaza kilaunapo yavaa unaona hayakupi ile feeling ya kuwa this is it, kukupa ile confidence ya kwamba umependeza na kujishow off.
Well inawezekana unafanya vitu hivi ambavyo vinasababisha kuharibu style yako:
- Mindset Yako
Inaweza kuwa ni mindset yako ndio inasababisha uone hujapendeza, huna ile confidence ya kuona umependeza lakini pia inawezekana mindset yako inakukwamisha pale ambapo unaona umevaa ukapendeza ukaona uko too much upunguze baadhi ya vitu kumbe ndio una haribu muonekano na kuufanya uwe regular.
- Unavaa mavazi yasiyokutosha
Mchawi mkubwa katika mavazi ni namna ambavyo yanakukaa mwilini, hakikisha unavaa mavazi yanayokutosha yasikubane sana wala yasikuachie sana. Ukiangalia watu maarufu wengi utaona wanatumia hii sana, ukinunua vazi ambalo unaona halikutoshi hakikisha unalipeleka kwa fundi akaliongeze au kulipunguza na sio kulivaa hivyohivyo alimradi umevaa.
- Hujui Namna Ya Ku-style Mavazi Yako
Unaweza kuwa na mavazi expensive lakini ukayavaa yakaonekana cheap na unaweza kuwa na mavazi cheap lakini ukayavaa yakaonekana expensive it’s all going down to style, namna ambavyo unapangilia mavazi yako, kama unatatizo hili hakikisha unaomba msaada kwa ma-stylist au kama ni expensive una google how to style vazi fulani na ukaangalia style inayokufaa.
- Viatu Vyako Haviridhishi
Hii tunarudia mara kwa mara, kama viatu vyako game yake ni weak tuamini sisi kilasiku muonekano wako utaonekana mbaya, invest in good shoes, its all about the quality & not the quantity na hakikisha una viatu ambavyo ni timeless usinunue vinavyotrend kwa muda.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/sababu-4-kwanini-style-yako-ina-boha/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/sababu-4-kwanini-style-yako-ina-boha/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/sababu-4-kwanini-style-yako-ina-boha/ […]