Kuna wakati una tamani kuvaa kiatu ukaonekana kiatu chako cha bei ghali, kuna wale wenzetu ana weza akanunua kiatu cha bei ghali lakini kila akikivaa kinaonekana cheap ndio maana mara nyingi utakuta mtu ana ulizwa umenunua bei ghali hivyo kwanini? mbona kipo kawaida sana una kuta una kaa unajiuliza kwanini? nakosea wapi? hizi ndizo sababu 6 viatu vyako vinaonekana cheap
- The platform “jukwaa” is too high
Kawaida ni kwamba platform ina pokuwa ndefu ndivyo ambavyo viatu vina zidi kuonekana vya bei nafuu, viatu ambavyo havina platform vina onekana vizuri na smart
- Havikutoshi
hata kama ni kizuri vipi usinunue kama hakikutoshi, ndio una weza kuweka makaratasi, shoe pads lakini kama hakikutoshi utakuwa huja poteza muda wako tu bali utapoteza na hela yako. Kutembea na makaratasi kwenye viatu nayo ina hitaji moyo
- Vina mambo mengi “urembo mwingi”
Embellishment ina weza kuwa tricky saa nyingine kama havia rembwa inavyo takiwa, makorokoro yanaweza kusababisha kiatu chako kikaonekana cheap tofauti na vile vilivyopo simple na classic
- huwezi kuvitembelea
hii huwaga ni aibu, lol una wezaje kununua viatu na kuvivaa na huwezi kuvitembelea? hata kama vina million dollar look kama huwezi kutembelea kwetu vitakuwa cheap
- vina mikwaruzo
kama una nunua kiatu hakikisha hakija kwaruzika yaani ngozi haija toka, hata kama una nunua mtumba nunua vile ambavyo ngozi yake bado ipo vizuri, kama kiatu kime isha ngozi usinunue tafadhali
- vina waka sana
kulikua na trend ya viatu venye ngozi ya plastick vina waka kama vimepakwa mafuta lakini kwa sasa ukivivaa utaonekana cheap jaribu kununua viatu vya ngozi hata kama ni ngozi feki ‘Suede leather”
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…