Seems like mwaka 2018 ni mwaka ambao una mengi ya kufurahia na maombi yetu ya siku zote yana sikika tumeanza kuona wasanii wakitumia stylist katika video zao lakini tumeanza kuona pia wasanii wakitumia mavazi kutoka kwa wabunifu wetu wa hapa Nchini kwetu, tuseme tu hizi ni step ndogo ndogo ambazo zitatufikisha mahali pazuri wote kwa pamoja, ukiachana na mbunifu/ stylist kupata exposure lakini pia msanii anapata kuvalishwa akapendeza.
Damian Sol ametoa wimbo mpya ambao kawashirikisha Quick Rocka na Nikki wa pili, unaitwa Data. Katika wimbo huu Damian na mamodel’s wamevalishwa na mbunifu Samuel Zebedayo, Damian amevaa collection ya Zebedayo ambayo aliishow case katika Swahili Fashion Week 2017,
Tumefanya interview na Samuel na ametuelezea ilikuaje kufanya kazi hii
Afroswagga :Ilikuaje kufanya kazi Na Damian?
Samuel : it was a nice experience working with Damian coz honestly he is a down to earth guy Hana majivuno na ni msikivu sana!
Afroswagga : Ni Mara Yako Ya Kwanza Kumvalisha Msanii Katika Video Ya Muziki? Kama Yes Damian Alivyo Kwambia Anataka Uwavalishe Nini Kilikujia Kichwani?
Samuel : Si Mara ya kwanza coz if if you can remember kuna song inaitwa NYONGANYONGA ya CHINBEES iwas the stylist behind the NYONGANYONGA video… Pia wimbo wa SAIDA KAROLI ule wa MOYO KICHAKA Im the designer behind G-NAKO and BELLE-9 outfits but they were styled in association with THE STYLIST behind the whole video na pia wasanii wengine huwa nawavalisha on and off…
With Damian, his case was different, after seeing my SWAHILI FASHION WEEK 2017 collection his Mind was made up! So I did add some other few designs but sadly some of the parts were cut off due to different technicalities…
Afroswagga : Kwanini Zile Outfits Yaani Story Behind It?
Samuel : The story behind according to him is that he was impressed to the maximum, He saw some of my designs from msanii mwenziwe Annette Ngongi alias @seghito who was among my plus size models and from then the rest is history!!
Afroswagga : After This Video Kuna Nyingine Tuzitegemee?
Samuel : Yes there are some more fantastic projects
Coming
Afroswagga : Je Bei Imepanda Baada Ya Damian Kuvaa Au Zinabaki Vilevile?
Samuel : Haha kuhusu bei, it’s the same!!! Sijapandisha… Kilichofanyika ni kwamba demand ya nguo zangu ime-rise which is a very promising thing to the future of fashion, design and styling industry…
Afroswagga : una maoni gani kwa wasanii kuhusu kuvaa mavazi ya wabunifu wa nyumbani katika kazi zao
Samuel : Maoni yangu sitaya-direct kwa wasanii coz they obviously know what they want, Mimi nawaasa local designers and stylists wajitahidi sana kuwa tofauti and being the best versions of themselves and in the llong run, everything will fall into place!!! One thing I’m so sure about wasanii wetu, especially wale nimefanya nao kazi, huwa wana ufahamu mzuri na wanachokitaka and ni wasikivu incase you come up more professional idea or reason they always go for that!
Our Review: Tuliipenda hii collection toka siku ya kwanza, tumependa Damian kuvaa japo kuna small mistakes kama Damian kuonekana amebanwa sana na nguo, vingine vyote Issa Yes to us.
angalia Video Hapo Chini
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/samuel-zebedayo-aeleza-namna-alivyofanya-kazi-na-damian-soul/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/samuel-zebedayo-aeleza-namna-alivyofanya-kazi-na-damian-soul/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 3436 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/samuel-zebedayo-aeleza-namna-alivyofanya-kazi-na-damian-soul/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/samuel-zebedayo-aeleza-namna-alivyofanya-kazi-na-damian-soul/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/samuel-zebedayo-aeleza-namna-alivyofanya-kazi-na-damian-soul/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/samuel-zebedayo-aeleza-namna-alivyofanya-kazi-na-damian-soul/ […]