Sean Wotherspoon’s Nike Air Max 1/97 ndio viatu ambavyo vimeonekana kupendwa sana kwa sasa, watu maarufu mbalimbali nje na ndani ya Nchi wameonekana kuvutiwa navyo na kuvi-style namna tofauti tofauti, vinauzwa $160 sawa na Tsh 365,584 na kwa sasa vinaonekana vipo sold out katika website ya Nike
Kwa hapa kwetu tumemuona Vanessa Mdee akiwa amevalia viatu hivi wakati yupo china, amevalia na all black outfit yaani short pants nyeusi na t-shirt amemalizia muoekano wake na cat eye glasses, we love the hair bun so big
Lakini tumeona pia kwa msanii kutoka Nigeria Davido akiwa amevivaa yeye alichagua kuwa colorful na outfit yake
Lakini pia wasanii kama Yara Shahid ameonekana akiwa amevalia hivi viatu na Double Denim Outfit
Chris Brown nae pia ameonekana kuvivalia viatu hivi na double denim outfit
lakini pia kuna wengine wengi wengi tulio wa-spot wakiwa wamevivaa, well ukitaka kuvivaa au kuvipata usicheze mbali na website yao hii hapa nike.com
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 13483 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/sean-wotherspoons-nike-air-max-1-97-viatu-vinavyo-pendwa-na-watu-maarufu-kwa-sasa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/sean-wotherspoons-nike-air-max-1-97-viatu-vinavyo-pendwa-na-watu-maarufu-kwa-sasa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/sean-wotherspoons-nike-air-max-1-97-viatu-vinavyo-pendwa-na-watu-maarufu-kwa-sasa/ […]