Wakati inaaminika watu wengi maarufu wanajua kutembelea viatu virefu, imekuwa tofauti kwa Fahyma na Shilole ambao week hii wameonekana kushindwa kutembelea viatu hivi. Sio dhambi hata kidogo kwa mtu maarufu au sisi wengine kushindwa kutembelea viatu hivi ila huwa inaleta picha tofauti pale ambapo mtu maarufu anapoonekana anashindwa kuvitembelea hasa anapokuwa kwenye event kubwa.
Fahyma alikuwa na press conference ambapo baada ya kuisha alionekana akiteseka kutembelea viatu hivyo ikabidi ishikwe na walinzi na kwa Shilole yeye alikuwa kwenye uzinduzi wa album ya Alikiba na alikiri kuwa viatu vinamtesa.
Well tuna few tips za aina za viatu au nini cha kuzingatia unapotuaka kuvaa viatu virefu kama huna mazoea navyo.
- Jua aina gani ya heel inakufaa
Sio kila heels zinafaa kuvaliwa na kila mtu, kuna ambao wana miguu mipana na wegine mwembamba. Kuna wedge heels, wide heels etc. Chagua heel ambayo utakuwa comfortable nayo.
- Jaribu kuvaa platform heels
- Jaribu kutembelea kwanza nyumbani kabla hujatoka navyo kwenda sehemu za watu
- Chagua heels zinazoendana na uzito wako
- Jua sio kila mtu anaweza kuvaa 6 Inches unaweza kuvaa lower heels na bado ukapendeza.
Well kama ungependa kujua kutembelea heels, soma hapa
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/shilole-na-fahyma-walivyoshindwa-kutembelea-viatu-virefu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/shilole-na-fahyma-walivyoshindwa-kutembelea-viatu-virefu/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/shilole-na-fahyma-walivyoshindwa-kutembelea-viatu-virefu/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/shilole-na-fahyma-walivyoshindwa-kutembelea-viatu-virefu/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 82411 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/shilole-na-fahyma-walivyoshindwa-kutembelea-viatu-virefu/ […]