Tunajua vazi halikamiliki bila ya viatu na viatu vinaweza kufanya vazi lako liwe zuri au viharibu, mara nyingi huwa tunasahau hili swala kwamba viatu vina play part kubwa katika mionekano yetu.
Week iliyopita watu maaru mbalimbali iwe ni fashionista’s, wanamuziki au waigizaji walipost picha zao katika mitandao ya kijamii na sisi lens yetu ya jicho ikaamua kupitia ni viatu gani walivaa.
Tunaanza na kusema kwasasa inaonekana watu maarufu wetu wanaangalia sana mionekano yao na wanajaribu ku-keep up na trend za Dunia, wengi tumeona wamevaa viatu vizuri lakini kiatu tulichoona kime trend ni platform heels ambazo hata huko Nchi nyingine vina trend.
Tulimuona muigizaji Irene Uwoya akiwa amevalia white suit, kutoka kwa mbunifu @jm_international_collection amemalizia muonekano wake na glasses, na accessories ndogondogo lakini kilichopendezesha zaidi huu muonekano ni hizi open toes black and gold platform heels ambazo zili match na black ya miwani na accessories za gold.

Tulimuona pia mwanamuziki Nandy ina all pink look, hot pink ina trend sana kwasasa pia mbunifu mkubwa Valentino aliwavalisha watu maarufu mbalimbali mavazi yake ya pink akiwepo Ariana Grande, well Nandy ame catch up na hii trend akiwa amevalia short dress ya pink, pink stockings akamalizia muonekano wake na pink platform shoes

Fashionista Jojo Gray nae hakuwa nyuma kuvalia trend hii ambapo yeye alivalia na short denim pant, pink t-shirt akamalizia muonekano wake na peep toe’s platorm heels

tumabie kati ya hawa watatu kwako ni style ya nani ya viatu imekuvutia zaidi?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/shoes-we-spotted-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/shoes-we-spotted-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/shoes-we-spotted-last-week/ […]