Its about time watu maarufu wanatumika kuwa brand ambassador kwa makampuni mbalimbali, kwetu sisi hii ni habari njema kwamba ma-kampuni wanatumia watu kutoka nyumbani kutangaza bidhaa zao.
Tumeona watu maarufu mbalimbali wakichukua deals hizi kama Diamond Platnumz, Gigy Money, Nandy pamoja na Harmonize. Well kwetu sisi hii ni habari njema, lakini asilimia kubwa ya hawa wasanii wametushangaza na mavazi yao wakati wanaenda kutangaza kwamba wamekuwa brand ambassadors wa kampuni hizo.
Wengi wao wameonekana kuvalia mavazi yanayo endana na rangi za brand hizo, kitu ambacho kimetufanya tuwaze je ni moja kati ya makubaliano yao na hizo kampuni au ni wao wanaona vyema waka-match na rangi ya brand hizo? Well si mbaya inaonyesha commitment yako na brand hio lakini Je hayo mavazi au hizo rangi zinavaliwa sawia?
Wengi wao tumeona wanachukulia tu poa mavazi yao kwenye hili lakini ni moja ya vitu ambavyo jamii huwa ina notice sana.
Kama ni brands huwa zinataka watu maarufu wavalie rangi ambazo zinaendana na brand zao basi ni vyema watu hawa maarufu wakatafuta stylist ambao wanajua kupangilia mavazi na rangi. Hii itaepusha aibu hizi ndogondogo kwa sababu tunaamini huwa wanaambiwa tarehe fulani kuna hili na hili kwahio wanakuwa na muda wa kujiandaa.
Lakini kama ni watu maarufu wenyewe basi wajue si lazima kuvalia rangi za brand kuna rangi nyingi ambazo ni neutral unaweza kuvaa bila kuleta conflict of interest Kama
- Nyeupe
- Nyeusi
- Nude
- Gray
Bado ukawa umevalia vyema na bila kupoteza deal yako. Lakini pia tuangalie na mavazi gani yanatakiwa kuvaliwa katika event kama hizi, hii ni business kwaio si mbaya sana kama ukatafuta suit au something nice kuonekana profesional hata kama unavaa rangi za kampuni hio.
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/si-lazima-kuvaa-rangi-za-brand-siku-unapopewa-u-ambassador/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/si-lazima-kuvaa-rangi-za-brand-siku-unapopewa-u-ambassador/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/si-lazima-kuvaa-rangi-za-brand-siku-unapopewa-u-ambassador/ […]