Mbunifu wa mavazi ambae sisi tunamuita Low Key baddest designer Mgece Cici ametoa collection yake ya Eid mwaka huu na tulivyo iona tulipata maneno mawili tu ambayo ni simple & elegant.
Kama ambavyo tunajua Mwezi Mtukufu unaelekea mwishoni na wengi tunapenda kusheherekea siku hii tukiwa na mavazi mapya, na wabunifu wengi huwa wana- release collection zao za Eid ilikuwarahishia wale ambao wanapenda kuvaa mavazi mapya katika sikukuu ya Eid moja kati ya wabunifu hao ni Mgece Cici ambae yeye ame debut collection yake ikiwa na mavazi aina ya kaftan.
katika Collection hii kuna rangi tofauti tofauti ambazo zina kupa nafasi ya kuchagua uipendayo hapa Mgece Cici akiwa ana model kwa collection yake mwenyewe akiwa amevalia peach kaftan yenye mchanganyiko wa kitambaa cha animal print, tumependa alivyo style na hio rope kichwani.
Vazi lake lingine ni hili ambalo amechagua rangi ya lime, hii ni kijani mpauko haiwaki sana yenyewe ipo calm na ina faa kuingia nayo popote hii ameongezea na urembo mweusi mikononi na belt inayoendana na kitambaa cha nguo.
Every woman needs a off white cloth on her wardrobe, Mgece Cici hapa akiwa amebuni gauni yenye balloon hands huku shingoni kukiwa na urembo wa maua, we love this collection na kama ambavyo tumesema collection hii ni simple na elegant.
Kupata mavazi haya mtafute mbunifu huyu kupitia Instagram account yake @mgece__cici__designs
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/simple-and-elegant-are-the-two-words-for-mgece-cici-eid-collection/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/simple-and-elegant-are-the-two-words-for-mgece-cici-eid-collection/ […]