Ramadhani ndio kwanza inaanza, Najua wengine ni kama mimi, tunawaza mabibui yenyewe machache nilio nayo na yanipasa nivae Stara kila siku nikiwa ofisini, Najua fika kwamba wote tunapenda kuonekana wapya kila siku ndio maana leo nikaamua kuandaa makala hii juu ya Maxi Sketi, Zipo za Rangi mbalimbali inategemea na mvaaji mapenzi yake.
Maxi sketi ni sketi ndefu zinazo ishia kabla ya kikonyo cha mguu, sketi hizi ni nyepesi zinaachia (hazibani) na zipo kimitindo Zaidi. Ukizivaa hazikupi shida unakua huru kwa sababu hazibani unaweza kuruka ata mtaro na pia haina shida ya kuzishikilia kusema ni ndefu sana.
Kitu kizuri kuhusu maxi sketi unaweza kuzivaa kwa kuzilinganisha na rangi za hijab kwa namna mbalimbali na pia una weza kuzi vaa na viatu vifupi,virefu,ndala na hata makobazi.
Maxi sketi inaweza kuvaliwa popote, kazini, kwenye matembezi na hata kwenye sherehe na marafiki.
JINCHI YA KUIVAA MAXI SKETI NA VITU VINGINE
Unaweza kuvaa kwa kuchanganya rangi tofauti tofauti ila ziendane na muekano
Unaweza kufananisha maxi sketi na mtandio wako ukaonekana maridadi na umejihifadhi (stara)
Pia unaweza Kuvaa Kizibao na kuchanganya rangi tofauti touti ili kuleta muonekano mzuri,wa kisasa na ukawa bado umejistiri maungo yako vizuri.
Related posts
6 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/sio-lazima-uvae-baibui-kila-siku/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 30077 more Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/sio-lazima-uvae-baibui-kila-siku/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/sio-lazima-uvae-baibui-kila-siku/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/sio-lazima-uvae-baibui-kila-siku/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 96734 more Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/sio-lazima-uvae-baibui-kila-siku/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 58804 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/sio-lazima-uvae-baibui-kila-siku/ […]