Hii ni trend nyingine ambayo imechukuliwa kutoka miaka ya 80 na 90 ambapo suruali ilikuwa inavaliwa ndani na skirt au gauni kwa juu, inaonekana trend inarudi as tumewaona watu maarufu mbali mbali wakiwa wamevaa style hii.
The famous one ni hii suruali ya jeans ambayo imebuniwa na kiji-skirt kwa juu, hii ni rahisi as imebuniwa humo kwa humo na tumeona watu maarufu kama Monica Brown, Ryan Destiny na Priyanka Chopra wakiwa wamevaa as street style
Priyanka yeye alivaa hii suruali na skirt na t-shirt nyeusi na leather jacket nyeusi amemaliza muonekano wake na red boots na glasses huku akiwa ame make statement na a P cup on hand (Priyanka Chopra Cup)
Wakati Ryan yeye aliamua kuipa a sexy feeling kwa kuvaa a one hand statement crop top huku akiwa amemalizia na pumps nyeusi ( we love this look)
Monica Brown yeye ameamua ku layer it as amevaa a yellow hoodie na trench coat, ame malizia muonekano wake na blue socks na glasses ( we must say this is a daring look from all)
Lakini pia tumeona fashionista’s wakiwa wamevaa trend hii kivingine zaidi
Fahionista @the_cocopolitan yeye aliamua ku-layer jeans yake na pleated skirt, blue shirt na red boots, we like this look but utaivaa wapi? bado tunafikiria.
Stephanie Coker-Aderinokun muigizaji kutoka Nigeria na yeye ameonekana kuvalia trend hii tumependa rangi alizotumia so calm, nicely & smart.
tuambie wewe hii trend imekuvutia au lah?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/skirt-over-pants/ […]