Tumeanza week nyingine tena, week iliyopita tumeona mambo mengi mengi ya kuhuzunisha na mengine ambayo yalitufurahisha kutoka hapa kwetu lakini pia kutoka Nchi za wenzetu tuanze na yaliyo tufurahisha
- Rihanna as a bride maid
Week iliyopita mwanamuziki Rihanna ambae pia ni fashion icon alisimamia harusi ya best friend wake aitwae Sonita , kilicho tufurahisha katika hii harusi ni jinsi ambavyo tulipata kumuona Rihanna Robyn Fenty mwenyewe na si Bad Girl Riri au Riri, Rihanna alikuwa simple in her blue mermaid dress, simple makeup & sleek ponytail hair do alivaa sare sawa na wasimamizi wengine na mostly hakumu-outshine best friend wake,she actual looked gorgeous
- Priyanka Chopra & Nick Jonas Engagement
Muigizaji Priyanka Chopra ame valishwa pete na mpenziwe Nick Jonas huko India, walivaa Indian traditional wear kitu ambacho hatukiketegemea kutoka kwa Nick Jonas ni kuvaa haya mavazi yaitwayo Kutra ya kihindi, tulitegemea angevaa suit lakini ikawa tofauti well they say love can make you do anything, Nick alivaa crisp ivory long-sleeved kurta pyjama wakati Priyanka Yeye alichagua yellow engagement anarkali embellished with beads and embroidery kutoka kwa mbunifu label Abu Jani Sandeep Khosla, tumependa kwamba wamechagua mavazi ya kitamaduni zaidi.
- Kanye And Kim As Wedding Guests
Week iliyopita harusi zilipamba moto tumemuona rapper 2 chainz ambae yeye aliamua kufunga ndoa na mpenzi wake wa siku nyingi, moja ya wageni waalikwa katika harusi hii alikuwapo rapper Kanye West na mpenziwe Kim Kardashian, Kim & Kanye walichagua ku grab all the attention na mavazi yao, Kim alivaa Neon spandex dress yenye mpasuo mbele we total don’t ship with this color, ameonekana yeye zaidi kuliko bibi harusi she total out shined the bride and the dress is more of a club dress sio wedding guest dress Kim you disappointed the fashion community, the husband went all in by wearing Louis Vuitton Suit with Yeezy season 5 slides ambazo hazimtoshi did he borrow them kutoka kwa mtoto wao Saint West? The bonding moment between father & son. kitu ambacho tunaweza kusema kutokana na choice zao za mavazi ni attention seeking na wakaipata haswa
Tukirudi Tanzania kulikuwa na event mbalimbali kubwa lakini hii ya Komaa Concert ilibamba zaidi na hawa ndio tulio waona tukaona tuwaongelee
- Nandy Wewe Sio Wa Kuvaa Hoodie Mchana
mwanamuziki wa kike anaefanya vizuri kwa sasa bi. Nandy alipanda katika jukwaa la komaa concert akiwa amevaa arm green patched hoodie na thigh high boots (some Ariana Grande Vibes) tungeipenda hii outfit kama ingekuwa usiku ingeeleweka zaidi lakini mchana wa jua kali? tena na thigh high boots na joto la Dar its a no to us.
- Maua Why The Kimono Belt?
Maua yeye alikuwa sawa kabisa kwa kuvaa crop top, denim shorts na thigh high boots ni concert wear kabisa lakini waswahili walishawahi kusema mchamba mwingi right? Maua akaamua kuongezea na kimono na kuchukua belt ya kimono kuvaa kiunoni the question is why? well basi llabda swagga angetoa kimono hata tusingejua ule mkanda umetoka wapi the kimono turned off the outfit and kuonekana mambo ni mengi
- Next time inabidi tuwaambie tunao waalika event ni muda gani
All the way from Ug mpaka Tz vinka kutoka Uganda alipanda katika jukwaa hili akiwa amevalia embellished with beads sheer jumpsuit hatujui ali survive vipi lile jua tunadhani atakuwa amejifunza jambo na wakati mwingine atajitahidi kuuliza hali ya hewa ya Tanzania na wapi anaenda kufanya show this was just wrong timing wrong place.
tupe maoni yako kupitia mitandao yetu ya kijamii
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/slayed-or-played-highlights-kutoka-week-iliyopita/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/slayed-or-played-highlights-kutoka-week-iliyopita/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/slayed-or-played-highlights-kutoka-week-iliyopita/ […]