Wiki iliyopita watu maarufu wakiume walionekana kuwa wanapost sana outfit zao, hatuna uhakika kwanini au ladba ni kwa sababu wanawake walikuwa kimya ndio maana tuka-notice za kiume. Wengi wameonekana kuvalia suit lakini wengine wakiwa wapo in casual outfits, leo tunauliza nani kaibeba week iliyopita na kuifanya yake kimuonekano kati ya hawa
Dogo Janja, alionekana akiwa amevalia purple suit tumependa rangi ya suit ni mara chache kuona mwanaume amechagua kuvaa rangi rangi. Rangi ilikuwa perfect tumependa alivyovaa na shati nyeupe kwa ndani imefanya azidi ku-pop tulicho chukia ni suit ilipo ishia na viatu, come on guys some times unacho hitaji kufanya ni sio kwenda na trend ila kuangalia is this trend suitable kwako? na kama sio ni jinsi gani unaweza kuitwist ikakufaa. Suit imetoka kwa mbunifu @chidy_designs
When you talk about vintage count on G Nako, huyu msanii ana style ya pekee. Yupo unique sana week iliyoisha tulipenda hii outfit yake ambayo alivaa vintage shirt, distressed jeans nyeusi na boots nyeusi pamoja na hat na matrix glasses he looked perfect we love the total package.
Stylist Noel Ndale yeye aliamua ku-pop in stripes ambapo alivaa stripes trouser, blue shirt iliyoendana na mistari ya suruali yake na kumalizia na oxford shoes na belt iliyoendana na suruali yake,we love the fact kwamba amekuwa creative na hii belt na tunashukuru si off white industrial belt na ameamua kutengeneza cha kwake.
Diamond Platnumz & Rayvanny walipendeza wakiwa wamevalia suit nyeupe wakiwa wame accessories na bow tie nyeusi na kumalizia na viatu na socks nyeusi, well tumependa that wamezivaa bila makorokoro mengi sometimes less is more.
Juma Jux nae alipendeza na hii outfit yake ambapo alivaa velvet black blazer ambapo kwa ndani alivalia na shirt nyeupe na bow tie nyeusi ameamlizia na suruali ya kitambaa nyeusi, slip ons shoes nyeusi ame accessorize na miwani, hereni na saa. we likey.
Mr Blue Byser yeye alivaa suit ya mustard ambapo kwa ndani alivalia shirt lenye rangi ya blue na nyeupe. Blue ana tatizo kama la Dogo Janja, tunadhani its about time tu throw away hii trend ya viatu bila socks na half trouser & go back to classic suit ways, hii trend inakuwa inaonekana vizuri kama suit inavaliwa in a casual way na sio kuvaa classic suit halafu ipo half unless you have the body. well rangi ya suit ipo on point na imetoka kwa clemoodesigner
Tuambie kwako nani amebeba taji la slayer wa week katika outfit hizi tulizozipost?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/slayed-or-played-looks-za-week-iliyopita-kutoka-diamond-jux-na-wengine/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/slayed-or-played-looks-za-week-iliyopita-kutoka-diamond-jux-na-wengine/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/slayed-or-played-looks-za-week-iliyopita-kutoka-diamond-jux-na-wengine/ […]