Jumatatu nyingine tena ambayo tunakuletea segment ya nani alipendeza na nani aliharibu kuliko wote week nzima katika watu maarufu, well tuseme tu week ilikuwa nzuri kabisa wengi walipendeza japo kama kawaida katika msafara wa mamba kenge hawakosagi. Basi tuone nani alipendeza week hii
Mwanamuziki Vanessa Mdee this girl amekuwa aki-slay mwaka huu, ame invest katika mavazi yake na kuonekana ki-star week hii alifunga week na greenish outfit ambapo alivaa turtle neck blouse, fringe min skirt akamaliza muonekano wake na blonde hair, gucci sunglasses zenye thamani ya shilingi 1,416,080/- na akamaliza na moja ya essentials za viatu kwa sasa clear pvc heels.
- Vanessa Mdee Anamiliki Taji La Fashionable Diva Mwaka Huu
- Jacqueline Mengi Alivyo Style Miwani Hii Ya Gicci Yenye Thamani Ya 1,416,080/-
Mwingine aliyetuvutia week hii ni mama Dogo Janja yaani Irene Uwoya, truth be told huyu dada nae amekuwa akija kwa kasi katika swala la mavazi mwaka huu, Week hii outfit yake iliyotuvutia ni hii all black outfit ambayo alivaa a dior black dress, miwani mweusi akamalizia na black pumps, she did justice to the fashion community.
Lulu Diva gave us some Beyonce feelings we all know Beyonce anapenda kuperform huku amevalia body suit, Lulu Diva ameonekana akiwa ana perform akiwakavaa blush pink body suit kutoka kwa mwanadada Jacques Collection, hair & makeup on point.
Mwanamitindo Tausi Likokola alipendeza akiwa mtaani huku amevalia a graphic tee iliyo andikwa Vogue, leather pants nyeusi akamaliza na pumps heels nyeusi na kofia, her bob cut is goals.
Kwa upande wa wavualana mwanamuziki Ali Kiba ametupa picha zake mpya, amevalia all black outfit huku akiwa ame-style outfit yake na denim jacket
Mwingine ni Rio Paul, Rio amekuwa ana signature look always anajaribu kuonekana classy and elegant hata akiwa in a casual look, ana elements zake ukiona unajua this is Rio, week hii tumeipenda hii kutoka kwake
Tukimaliza week mtu maarufu ambae ametuchosha ni gigy money au mama Mayra hatujui kama aliziangalia mara mbili hizi picha au kama kawaida yake miss i don’t care. The makeup is off, tumependa the skirt nzuri sana na inaonekana kidogo alitumia hela kuinunua but she had to ruin it na hii cheap looking crop top, throw the crop top and make up away, its a highly unattractive look.
well hii ndio report yetu ya week iliyopita until next time bye.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…