#afromates week imeisha na kama ambavyo tunajua kila jumatatu huwa tunawaletea report ya zile looks ambazo tumeona zimenoga na zile ambazo tumeona zimekosewa, well week hii tuna looks kutoka kwa watu mbalimbali ndani na nje ya Nchi na seems like this week wengi walijitahidi katika mavazi, kila mtu ameonekan ku-take notes na kutokea kinamna yake
- Rita Dominic Outfit at Afriff (Africa Film Festival)
Rita Dominic is one slay mama, she just gets it and anajua nini kinamfaa na nini hakimfai wakati ana attend katika awards za Africa Film Festival, Rita alivaa hii glitter Cinderella dress ya pink na glitter za silver, the dress imemkaa vizuri, her makeup was on point, hair style on one hundred she just looked gorgeous.
- Esma Platnumz
Esma blessed our Ig timelite with this kitenge dress, tumependa mshono, tumependa how she carried the dress, tumependa her pose, makeup, hair on point kwetu ni moja ya best dressed this week, she did that effortlessly
- Lulu Diva
we spotted Lulu Diva in apple green outfit, colorful and we loved it, siku mbili tatu zilizopita hali ya hewa ilikuwa ina act up, Lulu ameonekana kulitambua hilo na kutupa this kind of slayage, slayed the weather in sexiness, rangi ya trench coat ina catch attention, nywele na makeup on point we the green shoe to finish up muonekano wake.
- Vera Sidika
You can never go wrong with black, Vera amevaa a little black dress iliyo mchora mwili wake vizuri ( we all know she is body goals),amemalizia muonekano wake na thigh high boots nyeusi, Gucci cross bag na hereni na kofia huku aki wrap up her look na red lipstick.
- Otile Brown
na yeye tulipenda muonekano wake ambapo alivaa all black outfit, kofia, cross bag na white kicks.
Who is your best look this week?
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/mitindo/slayed-or-played-with-lulu-diva-otile-brown-esma-platnumz-and-many-more/ […]