Hello #afromates as wote mnajua kwamba kila jumatatu huwa tunaleta list ya nani amevaa nini na alipendeza au lah kutoka week iliyopita, well kama mgeni basi jua kwamba tuna system ya kukuletea report ya week nzima ya nani amepanda nini katika swala zima la fashion, seem like tunamaliza mwaka vizuri as week hii napo wengi wamejitahidi na mavazi kutoka kwa wakaka na wadada wengi wamefanya vizuri well lets see the report shall we
Tuanze na waliotuwakilisha katika red carpet ya #afrimaghana2018,
- Vanessa Mdee
she wore this gorgeous gold feather dress kutoka kwa mbunifu Kyamirwa, amemalizia muonekano wake na open sandals, sleek ponytail hair style na simple makeup, she looked simple & safe for red carpet.
- Nedy Music A.K.A Mpemba mmoja
yeye alivaa hii suit ambayo alikuwa styled na stylist Noel Ndale, A brother ameonekana kama a grown up man kitu ambacho ni kizuri kubadilika hasa kwenye matukio makubwa kama haya, accessories on point & ameshinda award usiku huu.
- Lulu Diva
been slaying our souls siku hizi, week hii tume m-spot in this two pieces white outfit, she looked clean, amemalizia muonekano wake na silver accessories na nude stiletto, we love her hair & face beat japo accessories kama zingepungua but she nailed the look styled by Macrida Joseph.
- Mbunifu Elisha Red Label
is back with this beautiful red dress worn na mwanadada fifi.fionaa,this dress is everything and more, just breath taking
- Elizabeth Michael Na Mtarajiwa Wake Majizzo
Elizabeth Michael na mpenziwe Majizzo wameonekana in this outfit ambayo tumependa , tumependa kwamba Majizzo ana jjitahidi ku-keep up na Lulu they looked like wale couple ambao tuna hashtag #couplegoals
Alichovaa Elizebeth Michael Lulu Katika Siku Yake Ya Mahari
- Cyrill Kamikaze
we love when a men rock a trend na akapendeza, tume m-spot mwanamuziki Cyrill Kamikaze akiwa amevalia floral shirt yenye animal print, suruali nyeusi, black shoes huku akiwa ame accessories na miwani, saa na mikufu, okay he can make it as our man crush monday, dripping.
Week hii alie haribu ni mwanadada Aika kutoka Navy Kenzo, Aika loves her self so much & tunapenda hiki kitu kutoka kwake lakini a sister needs to be reminded kila kitu kina mipaka yake too much can be harmful sometimes. anahitaji kujua what’s work and what doesn’t
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/slayed-or-played-with-vanessa-mdee-elizabeth-michael-nedy-music-and-others/ […]