Hivi vipochi unaweza kuwa umekutana navyo mahala mbalimbali, wamama wanauza sana na kuvitengeneza mno mitaani, wengi huwa tunavipuuzia na kuvipita lakini brand kutoka hapahapa Tanzania iitwayo So Rare wao wameviona na kuvipa muonekano wa tofauti kidogo.
Kwa sababu vinauzwa sana na wamama basi wengi tunahisi vinabebwa na wamama wa umri fulani wao wameviweka katika hali ya usichana na kutuonyesha namna hata mdada anaweza kuvibeba.
Well wanatengeneza wenyewe na hizi clutch na hii ilikuwa look book ya collection ya spring summer 2018 wamezipa clutch hizi jina la “TALLY CLUTCH”
Tumependa jinsi walivyo jitaidi kutoa locality katika photo-shoot yao na the fact that wamefikiria kufanya photo shoot kwa ajili ya clutch hizi, ni kitu cha tofauti na kinahitaji kusifiwa inaitwa “branding” ndio maana unaweza kukuta mbunifu anauza plain tee kama wewe ila tu sababu logo ni gucci ikachukuliwa Gucci.
Kama ungependa kununua au kupitia kuona bidhaa zao nyingine clich hapa @SoRare
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/so-rare-brand-na-jinsi-ya-kuslay-african-beaded-clutchs/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 97243 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/so-rare-brand-na-jinsi-ya-kuslay-african-beaded-clutchs/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 81613 additional Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/so-rare-brand-na-jinsi-ya-kuslay-african-beaded-clutchs/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/mitindo/so-rare-brand-na-jinsi-ya-kuslay-african-beaded-clutchs/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/so-rare-brand-na-jinsi-ya-kuslay-african-beaded-clutchs/ […]