Ni Jumatatu nyingine tena na hii ni ya mwanzo wa mwezi, sote tunajua jumatatu huwa ni ngumu sana kutokana na uchovu wa weekend unahitaji a little inspiration ili kupata kuamka na kuendeleza mishe za kutafuta hela, iwe umeajiriwa au umejiajiri, mwanafunzi etc sote tunahitaji inspiration kwetu tumeona hivi viatu kutoka kwa Jokate tuvi-dedicate kwenu leo hii,
Viatu hivi vimeandikwa maneno yafuatayo Unstoppable & ambitious yaani huzuiliki & malengo ya kufanikiwa, kwetu tunadhani kwa sababu wanawake wengi tunapenda viatu hivi vinaweza kukusaidia sana pale unapo taka kukata tamaa na kitu unacho fanya, au umechoka na kazi yako vita kuinspire to keep going doing what your doing, usikate tamaa.
Jokate alivaa viatu hivi na two piece black & white suit
unaweza kuvaa na chochote tumejaribu kuvitafuta vinapo uzwa tumekosa but what we know is they are the must have’s, it is a better way of slaying & being in inspired at the same time
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/mitindo/sote-tunahitaji-hizi-unstoppable-ambitious-pumps-kama-za-jokate-mwegelo/ […]