Tukiongelea Nchi ambazo Africa zimepiga hatua kwenye swala la mitindo huwezi kuacha kuitaja South Africa, wenzetu wamepiga hatua kwenye mitindo na jana South Africa Fashion Week imeanza as usual Fashionistas kutoka South wameanza week hii na mabomu maana sio moto,
Tukianza na Slayer Bonang Matheba yeye alivaa full red outfit (lady in red) amevaa a red leather jumpsuit na red pumps uku akimalizia muonekano wake na red long fur coat, miwani na bole red lipstick. Badamu Bamemwagika.
kefilwe_mabote yeye aliamua kuwa chic casual ambapo alivaa distressed denim trouser yenye pearls, vest nyeupe ambapo kwa juu aliongezea blazer nyeusi, akamalizia muoneano wake na small side bag, hat na open heels
Kim Jayde yeye alivaa gray see through dress ambayo ndani alivaa na lingerie nyeusi huku akimalizia muonekano wake na thigh high Black boots na clutch
Huyu tumempenda zaidi ni stylist na modern muslim Fashionista, tumependa alivyp istyle hii high slit skirt na jeans, the tassel top amemalizia muonekano wake na pumps pamoja na clutch na kilemba.
Pearl Thusi yeye alimua kuwa pink babe ambapo alivaa pink dress aliyo valia na floral kimono juu, pink open heels na pink shades, We see you pearl
ZINHLE JIYANE alivaa white and black sweat pants (trending), white shirt amemalizia muonekano wake na laceup heels alizovalia na fishnet socks na floral kimono chenye kijani na njano na shades. we love love the package.
hii ni day 1 we cant wait to bring you all the outfits tulizo zipenda kwa week nzima stay tuned.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/south-africa-fashion-week-started-with-a-bang/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/south-africa-fashion-week-started-with-a-bang/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/south-africa-fashion-week-started-with-a-bang/ […]