Khanyi Mbau Metanoia ni muigizaji na tv host kutoka South Africa hili jina linaweza kuwa geni kwako kwani anajulikana sana kama @mbaureloaded katika mitandao ya kijamii, akiwa ame attend South African Film and Television Awards 2018 Khanyi ameonekana kuvalia hili gauni ambalo sisi tunakumbuka kuliona katika collection ya Moschino spring 2018.
Khanyi alivaa hii statement dress kutoka kwa posh_zw_official akiwa ameachia nywele & she added clear glasses well as weird as it seems we like how ame style hili gauni.
Kama mnakumbuka vyema katika hii collection Moschono alikuwa creative kwa kubuni magauni yanayo fanana na vipepeo na maua, infact ilikuwa favorite collection yetu kutoka kwa moschino
Ukiangalia hayo magauni utagundua zinafanana kiasi fulani ila tu moja lime kuwa edited na kitambaa ni cheap kidogo wakati lingine ni high quality, ni vizuri kuwa inspired tumependa kwamba haja copy na ku- paste ameamua kuongeza touch’s zake mwenyewe.
Tumemuona Zendaya akiwa amevaa hili Moschino dress pia katika Australian Premiere of The Greatest Showman, Zendaya yeye alivaa gauni hii na open heels nyeusi, na simple makeup & accessories as the dress it self ni statement.
tuambie wewe umeonaje ni kweli yanafanana?
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 36663 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/south-african-designer-vs-moschino-spring-2018-butterfly-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/south-african-designer-vs-moschino-spring-2018-butterfly-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/south-african-designer-vs-moschino-spring-2018-butterfly-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/south-african-designer-vs-moschino-spring-2018-butterfly-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/mitindo/south-african-designer-vs-moschino-spring-2018-butterfly-dress/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 15574 additional Info to that Topic: afroswagga.com/mitindo/south-african-designer-vs-moschino-spring-2018-butterfly-dress/ […]