Fanny Packs zipo on trend kwa sasa karibu kila mbunifu anaebuni mapochi amebuni hivi vijipochi vya kuvaa kiunoni na inaonekana watu maarufu wengi wana vipenda tumesha wahi kuviona kwa watu ni kama
Kendall Jenner
na kwa wavulana tulimuona Asap Rock akiwa amevalia kijipochi hiki
Kwa Tanzania tumemuona Dogo Janja akiwa amekivaa inaonekana Dogo ana chukulia kwa umakini muonekano wake siku hizi tumeona akiwa ana pendeza mara kwa mara na sasa tunaona anaanza kwenda na trendy
Dogo alivaa hiki kijipochi kama cross begani cheusi akiwa ame match na hat na suruali nyeusi
wakati juu alivaa hii shirt kubwa ya njano (inaonekana kama ya kichina)
na raba za gold wakati akimalizia kwa accessories miwani, bracelets, mikufu na pete
huyu kaka pembeni uake nae amevaa fanny pack ya blue Je mme penda Dogo alivyo vaa trend hii?
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 97297 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/spotted-dogo-janja-rocking-fanny-pack/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/spotted-dogo-janja-rocking-fanny-pack/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/mitindo/spotted-dogo-janja-rocking-fanny-pack/ […]