Ugly shoes zimekuwa ziki-trend kwa muda sasa, watu maarufu wengi wameonekana kupendezwa nazo na kuzivaa from the Kardashian’s, The Hadid’s, Jaden Smith na wengine wengi wengi wamevaa viatu hivi kwa Africa tuliwaona watu maarufu kama Toke Makinwa akiwa amevivaa
Hivi karibuni tumewaona wasanii wawili wakiume wa bongo flava wakiwa wamevalia viatu hivi, Vinaitwa Balenciaga triple S trainers na vinauzwa £ 615 sawa na Tzs 1,845,553.50,
Msanii kutoka katika kundi la wasafi Rayvanny yeye alivaa viatu hivi akiwa amestyle na tee ya blue na suruali nyeusi akiwa amemalizia muonekano wake na accessories ndogondogo kama mikufu, saa, pete na miwani.
Wakati Billnass yeye alionekana akiwa amevivalia viatu hivi na suruali yenye rangi nyeupe na nyeusi (draft) akiwa amemalizia na t-shirt nyeusi na jacket na accessories kama kofia na mkufu.
Well mates are you feeling the shoes?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/mitindo/spotted-rayvany-na-billnass-wakiwa-wamevaa-balenciaga-ugly-sneakers/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 26226 additional Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/spotted-rayvany-na-billnass-wakiwa-wamevaa-balenciaga-ugly-sneakers/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/spotted-rayvany-na-billnass-wakiwa-wamevaa-balenciaga-ugly-sneakers/ […]