Track Pant zimekua zikitrend kwa muda sasa, kuanzia fashion bloggers, fashionista’s watu maarufu mbalimbali wamekua wakirock hii trend,
tunaweza kusema track pant are new leggings, na tumeipenda hii trend unaweza kuvaa na chochote lakini mostly ni kwamba track pant are so comfortable. Kwa East Africa tume waona watu maarufu hawa wakiwa wame rock hii trend
Victoria Kimani kutoka Kenya yeye ame rock track pant na vest nyeusi,bomber jacket inayo fanana na track pant yake amemalizia na raba nyeupe huku akiwa amesukia neon hair na kuaccessorize na leopard choker na miwani
Mwingine kumuona nayo hii tend ilikua our own Vanessa Mdee yeye alichagua black, white & red track pant amevalia na vest nyeusi, colorful shoes amemaliza muonekano wake na straight hair na miwani wana sema less is more.
Lakini pia si hao tu walioonekana kuvutiwa na trend hii kuna queen Darleen kutoka WCB amabe yeye alivaa black & white track pant,ameivaa na fringe top huku akiwa amemalizia muonekano wake na big earrings na bangili
Alikua na style mbili ya kuvaa ambapo mwanzo alivalia Balenciaga Raba na mara ya pili amevalia cage heelsĀ
Wa mwisho ni mwanamuziki kutoka hapa hapa bongo nae anaitwa rucky beby ambae yeye alivaa track pant nyeupe/maziwa yenye mistari myekundu huku akiwa amevalia na blazia yenye rangi sawa na track pant yake, ombre hair ame accessorise na body chain, bangili, saa huku akiwa amemalizia muonekano wake na open heels.
haya tumeona jinsi celebrities wetu walivyo style track pant swali ni je nani ame trash the trend na nani ame rock the trend kati yao? tuachie maoni yako katika box la comment
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/mitindo/spotted-victoria-kimani-vanessa-mdee-in-track-pant-trend/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/mitindo/spotted-victoria-kimani-vanessa-mdee-in-track-pant-trend/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 74722 more Information to that Topic: afroswagga.com/mitindo/spotted-victoria-kimani-vanessa-mdee-in-track-pant-trend/ […]